-
‘Penda Kweli na Amani’!Mnara wa Mlinzi—1996 | Januari 1
-
-
3. Yehova amewapa watu wake zawadi gani yenye kutokeza, wajapoishi katika ulimwengu wenye matatizo?
3 Hata hivyo, kwa kutokeza Yehova huwapa watu wake amani hata waishipo katika ulimwengu wa Shetani wenye kukumbwa na vita. (Yohana 17:16) Katika karne ya sita K.W.K., alitimiza ahadi yake kupitia Yeremia na kutoa “amani na kweli” kwa taifa lake la kipekee alipolirudisha katika bara lalo. (Yeremia 33:6) Na katika siku hizi za mwisho, amewapa watu wake “amani na kweli” katika “bara” lao, au hali yao ya kiroho, hata ingawa wameishi kupitia wakati mbaya zaidi wa matatizo ambao ulimwengu huu umepata kuona kufikia sasa. (Isaya 66:8; Mathayo 24:7-13; Ufunuo 6:1-8)
-
-
‘Penda Kweli na Amani’!Mnara wa Mlinzi—1996 | Januari 1
-
-
2 Ni kwa sababu amani ya kudumu ni lazima itoke kwa hali isiyo na chuki na pupa; ni lazima itegemee kweli. Amani haiwezi kutegemea uwongo. Hiyo ndiyo sababu Yehova alisema hivi alipoahidi Israeli la kale urudisho na amani: ‘Namwelekezea amani kama mto, na utukufu wa mataifa kama kijito kifurikacho.’ (Isaya 66:12)
-