Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Ni Kimbilio Letu
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
    • wala tauni ipitayo gizani, wala uele uharibuo [“maangamizi yaharibuyo,” “NW”] adhuhuri.” (Zaburi 91:5, 6)

  • Yehova Ni Kimbilio Letu
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
    • Isitoshe, sisi hatuogopi “tauni ipitayo gizani.” Hii ni tauni ya mfano inayosababishwa na giza la ulimwengu huu ulio mgonjwa kiadili na kiroho ambao unakaa katika nguvu ya Shetani. (1 Yohana 5:19) Tauni hiyo hutokeza hali yenye kudhuru sana akili na moyo, ambayo huzuia watu wasimjue Yehova, makusudi yake, na maandalizi yake ya upendo. (1 Timotheo 6:4) Katikati ya giza hilo, sisi hatuogopi, kwa kuwa tuna nuru nyingi sana ya kiroho.—Zaburi 43:3.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki