-
“Kutafuta Kwanza Ufalme”Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Katika 1982 ripoti ya duniani pote ya kila mwaka ilionyesha kwamba muda wa saa 384,856,662 zilitolewa kwenye huduma ya shambani. Miaka kumi baadaye (katika 1992) saa 1,024,910,434 zilitumiwa katika kazi hiyo. Ni nini kilichosababisha ongezeko hilo kubwa la utendaji?
Ni kweli kwamba idadi ya Mashahidi wa Yehova imekua. Lakini si kwa kadiri ileile ya muda wa saa. Wakati wa kipindi hicho, idadi ya Mashahidi ilipoongezeka kwa asilimia 80, idadi ya mapainia ilipanda ikawa asilimia 250. Kwa wastani kila mwezi, 1 kati ya Mashahidi wa Yehova 7 ulimwenguni pote alikuwa katika aina fulani ya kazi ya kuhubiri ya wakati wote.
-
-
“Kutafuta Kwanza Ufalme”Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Grafu katika ukurasa wa 303]
(Ona mpangilio kamili katika nakala iliyochapishwa)
Mapainia Wanaoongezeka!
Mapainia
Wahubiri
Asilimia ya Ongezeko Tangu 1982
250%
200%
150%
100%
50%
1982 1984 1986 1988 1990 1992
-