-
“Kutafuta Kwanza Ufalme”Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Wakati wa kipindi hicho, idadi ya Mashahidi ilipoongezeka kwa asilimia 80, idadi ya mapainia ilipanda ikawa asilimia 250. Kwa wastani kila mwezi, 1 kati ya Mashahidi wa Yehova 7 ulimwenguni pote alikuwa katika aina fulani ya kazi ya kuhubiri ya wakati wote.
-
-
“Kutafuta Kwanza Ufalme”Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Grafu katika ukurasa wa 303]
(Ona mpangilio kamili katika nakala iliyochapishwa)
Mapainia Wanaoongezeka!
Mapainia
Wahubiri
Asilimia ya Ongezeko Tangu 1982
250%
200%
150%
100%
50%
1982 1984 1986 1988 1990 1992
-