Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Kutafuta Kwanza Ufalme”
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Ili kupata malazi, wangekodi chumba kidogo huku wakihubiria watu katika eneo hilo. Wengine wao walitumia trela—kitu sahili, mahali tu pa kulala na kulia. Wengine walilala katika mahema na kuhamahama. Mahali pengine, ndugu walipanga kuwa na “kambi za mapainia.” Huenda Mashahidi katika eneo hilo wakaandaa makao, na mtu mmoja angegawiwa kuyasimamia. Mapainia waliotumikia katika eneo hilo wangeweza kutumia makao hayo, na wangeshiriki kulipa gharama zilizohusika.

  • “Kutafuta Kwanza Ufalme”
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • [Picha katika ukurasa wa 286]

      Magari yenye nyumba sahili yaliandaa malazi kwa baadhi ya mapainia wa zamani walipohama kutoka mahali pamoja hadi pengine

      Kanada

      India

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki