Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Unaweza Kumsaidiaje Mtoto “Mpotevu”?
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Oktoba 1
    • 15. Sala husaidiaje mtu aliyekosea arudishe uhusiano wake na Yehova?

      15 Sala ni ya lazima ili kurudisha uhusiano na Yehova. Bila shaka, hakuna mtu anayepaswa “kuomba” kuhusu dhambi iliyo wazi ambayo inafanywa tena na tena na mtu asiyetubu ambaye alikuwa anashirikiana na kutaniko la Kikristo hapo awali. (1 Yohana 5:16, 17; Yeremia 7:16-20; Waebrania 10:26, 27) Hata hivyo, wazazi wanaweza kumwomba Yehova awape hekima ya kushughulika na hali hiyo. (Yakobo 1:5) Ikiwa kijana aliyetengwa na ushirika anaonyesha toba lakini hana “uhuru wa usemi kuelekea Mungu,” wazazi wanaweza kumwomba Mungu amsamehe mtoto kosa hilo ikiwa anaona kuna msingi wa kufanya hivyo ili mapenzi Yake yatendeke. (1 Yohana 3:21) Kusikiliza sala hizo kwapaswa kumsaidia kijana amwone Yehova kuwa Mungu mwenye rehema.b—Kutoka 34:6, 7; Yakobo 5:16.

  • Unaweza Kumsaidiaje Mtoto “Mpotevu”?
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Oktoba 1
    • b Sala hizo hazitatolewa kwenye mikutano ya kutaniko kwa niaba ya mtoto aliyetengwa na ushirika, kwa kuwa huenda wengine wasifahamu hali ya mtoto huyo aliyetengwa na ushirika.—Ona gazeti Mnara wa Mlinzi, Oktoba 15, 1979, ukurasa wa 31 la Kiingereza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki