Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kufunika Kichwa—Wakati Gani na kwa Nini?
    “Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu”
    • Kila mwanamke ambaye husali au kutoa unabii kichwa chake kikiwa hakijafunikwa hukiaibisha kichwa chake.” (Mstari wa 3,5) Katika mpango wa familia, Yehova amemweka mume kuwa kichwa cha mwanamke. Mke asipotambua mamlaka ya mume wake, atakuwa anamwaibisha mume wake ikiwa anatekeleza majukumu ambayo Yehova amempa mume. Kwa mfano, akilazimika kuongoza funzo la Biblia mume wake akiwapo, atatambua mamlaka ya mume wake kwa kufunika kichwa chake. Atafanya hivyo, iwe mume wake amebatizwa au hajabatizwa, kwa kuwa mume ndiye kichwa cha familia.a Ikiwa anahitaji kufundisha au kusali mtoto wake wa kiume aliyebatizwa akiwapo, atafunika kichwa pia, si kwa sababu mwana huyo ni kichwa cha familia, bali kwa sababu ya mamlaka ambayo wanaume waliobatizwa wamepewa katika kutaniko la Kikristo.

  • Kufunika Kichwa—Wakati Gani na kwa Nini?
    “Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu”
    • a Kwa kawaida mke Mkristo hatasali kwa sauti mume wake mwamini akiwapo isipokuwa katika hali zisizo za kawaida, kama vile wakati ambapo mume hawezi kuzungumza kwa sababu ya ugonjwa fulani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki