-
“Jina Jipya”Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
16. Ni jinsi gani watumishi wa Yehova ‘wasivyomwacha akae kimya’?
16 Watumishi wa Yehova wanatiwa moyo kusali bila kukoma, kumwomba Mungu ‘mapenzi yake yatendeke, kama ilivyo katika mbingu, pia juu ya dunia.’ (Mathayo 6:9, 10; 1 Wathesalonike 5:17) Wanahimizwa hivi: “Msimwache [Yehova] akae kimya” mpaka awatimizie tamaa zenu na matumaini yanayohusiana na kurudishwa kwa ibada ya kweli. Yesu alikazia uhitaji wa kusali daima, akawahimiza wafuasi wake ‘kumpaazia Mungu kilio mchana na usiku.’—Luka 18:1-8.
-
-
“Jina Jipya”Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
wala msimwache akae kimya, mpaka atakapoufanya imara Yerusalemu, na kuufanya kuwa sifa duniani.” (Isaya 62:6, 7)
-