Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutokeza Fasihi za Biblia Ili Zitumiwe Katika Huduma
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Hata hivyo, haikuwa katika Brooklyn pekee kwamba Sosaiti ilikuwa ikianzisha shughuli za uchapaji. Baadhi za shughuli za uchapaji katika lugha za kigeni zilisimamiwa na ofisi katika Michigan. Ili kushughulikia mahitaji yaliyohusiana na kazi hiyo, Sosaiti ilipeleka mashine ya Linotaipu, matbaa za kuchapa, na vifaa vingine vilivyohitajika katika Detroit, Michigan katika 1921. Huko fasihi zilichapwa katika Kipoland, Kirusi, Kiukrainia, na lugha nyinginezo.

  • Kutokeza Fasihi za Biblia Ili Zitumiwe Katika Huduma
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Kwa kuwa kiwanda kwenye barabara ya Concord Street kilikuwa na nafasi kubwa, shughuli za uchapaji kutoka Detroit ziliunganishwa na zile za Brooklyn. Kufikia mwaka wa pili katika sehemu hiyo, ndugu walikuwa wakifanyiza asilimia 70 ya vitabu na vijitabu vilivyohitajiwa, kutia na magazeti, trakti, na vikaratasi vya ukaribishaji.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki