Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutokeza Fasihi za Biblia Ili Zitumiwe Katika Huduma
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Katika 1933 serikali ya Ujerumani, ikichochewa na makasisi, ilikomesha utendaji wa kuchapa wa Mashahidi wa Yehova katika Ujerumani. Polisi walitwaa kiwanda cha Watch Tower Society katika Magdeburg na kukifunga katika Aprili wa mwaka huo, lakini hawangeweza kupata ushahidi wowote wenye kuwashtaki, kwa hiyo wakaondoka. Hata hivyo, waliingilia tena katika Juni. Ili kuendelea kueneza ujumbe wa Ufalme, Sosaiti ilianzisha kiwanda cha kuchapia katika Prague, Chekoslovakia, na vifaa vingi vilihamishwa huko kutoka Magdeburg. Kwa mipango hiyo, magazeti katika lugha mbili na vijitabu katika lugha sita vilitokezwa wakati wa miaka michache iliyofuata.

  • Kutokeza Fasihi za Biblia Ili Zitumiwe Katika Huduma
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • [Picha]

      Kwa miaka mingi matbaa-tambarare za aina mbalimbali zilitumiwa (Ujerumani)

  • Kutokeza Fasihi za Biblia Ili Zitumiwe Katika Huduma
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Sasa, matbaa za mwendo wa kasi za ofseti ya “web” za kuchapa kwa rangi kamili zinazofanyizwa katika nchi mbalimbali hutumiwa katika viwanda vikuu vya kuchapia vya Sosaiti

      Italia

      Ujerumani

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki