-
“Vitu vya Kuchukiwa na Mataifa Yote”Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Katika miaka ya katikati ya 1940, Mashahidi wa Yehova katika Quebec, Kanada, walitendwa vibaya sana pia, mikononi mwa magenge ya Wakatoliki na maofisa vilevile. Wajumbe kutoka jumba kuu la askofu walienda kila siku kwenye idara ya polisi ili kudai kwamba polisi wawaondolee mbali Mashahidi. Mara nyingi, kabla ya mtu kukamatwa, polisi walionwa wakitokea mlango wa nyuma wa kanisa. Katika 1949, wamishonari wa Mashahidi wa Yehova walifukuzwa kutoka Joliette, Quebec, na magenge ya Wakatoliki.
-
-
“Vitu vya Kuchukiwa na Mataifa Yote”Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Picha katika ukurasa wa 667]
Jeuri ya magenge karibu na Montreal, Quebec, mwaka 1945. Jeuri kama hiyo iliyochochewa na makasisi dhidi ya Mashahidi ilikuwa ya kawaida wakati wa miaka ya 1940 na 1950
-