Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ujumbe Mtamu na Mchungu
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • 2 “Na mimi nikaona malaika mwingine kabambe akishuka kutoka katika mbingu, akiwa amepambwa wingu, na upinde-mvua ulikuwa juu ya kichwa chake, na uso wake ulikuwa kama jua, na nyayo zake zilikuwa kama nguzo zenye moto.”—Ufunuo 10:1, NW.

  • Ujumbe Mtamu na Mchungu
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • Upinde-mvua huo juu ya kichwa chake hukumbusha sisi njozi ya Yohana ya mapema zaidi ya kiti cha ufalme cha Yehova, chenye “upinde-mvua kama emeraldi katika kuonekana.” (Ufunuo 4:3, NW; linga Ezekieli 1:28.) Upinde-mvua ulidokeza utulivu na amani inayozunguka kiti cha ufalme cha Mungu. Katika njia iyo hiyo, upinde-mvua huu juu ya kichwa cha malaika ungemtambulisha yeye kuwa mjumbe maalumu wa amani, “Mwana-Mfalme wa Amani” wa Yehova aliyetabiriwa.—Isaya 9:6, 7, NW.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki