-
Kukua Katika Ujuzi Sahihi Juu ya KweliMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Chini ya kichwa “Ule Ufuniko,” Barbour alikuwa ametoa kielezi cha jinsi alivyohisi juu ya fundisho hilo, akisema hivi: “Mimi namwambia boi wangu, au mmoja wa watumishi, James aumapo dada yake, wewe kamata inzi, uchome mwili wake kwa sindano umtundike ukutani, nami nitamsamehe James. Hiyo yatolea kielezi fundisho la kutoa kilicho badala.” Ingawa alidai kuamini katika fidia, Barbour alilirejezea kuwa “si la kimaandiko, na lenye kuchukiza sana kwa mawazo yetu yote ya haki”h lile wazo la kwamba kwa kifo chake Kristo alilipa adhabu ya dhambi kwa ajili ya uzao wa Adamu.
-
-
Kukua Katika Ujuzi Sahihi Juu ya KweliMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
h Barbour alidai kuamini katika fidia, kwamba Kristo alikufa kwa ajili yetu. Alilokataa ni wazo la “kutoa kilicho badala”—kwamba Kristo alikufa badala ya sisi, kwamba kwa kifo chake Kristo alilipa adhabu ya dhambi kwa ajili ya uzao wa Adamu.
-