-
Kutahini na Kupepeta Kuanzia NdaniMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Katika toleo la Agosti 1878 la Herald of the Morning, Barbour aliandika makala fulani ambayo alijulisha kuwa maandiko kama vile 1 Petro 3:18 na Isaya 53:5, 6, pia Waebrania 9:22, hayana maana na akajulisha kuwa wazo lote kwamba Kristo alikufa ili alipie dhambi zetu lilichukiza sana. Russell baadaye aliandika: “Kwa mshangao wetu wenye kutia uchungu, Bw. Barbour . . . aliandika makala katika Herald akikataa fundisho la kulipia—akikataa kwamba kifo cha Kristo kilikuwa bei ya fidia ya Adamu na jamii yake, akisema kwamba kifo cha Kristo hakingeweza kulipia adhabu ya dhambi ya mwanadamu kama vile kuchomelea pini katika mwili wa inzi na kufanya ahisi uchungu na afe kusingefikiriwa na mzazi wa kidunia kuwa malipo yanayostahili kwa kosa la mwanae.”a
-
-
Kutahini na Kupepeta Kuanzia NdaniMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Picha katika ukurasa wa 620]
Mtihani mkuu wa imani ulihusu kutambua thamani yenye kulipia dhambi ya dhabihu ya Yesu
-