-
“Mungu Ni Upendo”Mnara wa Mlinzi—2003 | Julai 1
-
-
a Msomi mmoja anasema kwamba rangi nyekundu “ilikuwa rangi isiyofifia, rangi ya kudumu. Haingeweza kuondolewa na umande, wala mvua, wala kufuliwa, wala kutumiwa kwa muda mrefu.”
-
-
“Mungu Ni Upendo”Mnara wa Mlinzi—2003 | Julai 1
-
-
Ona jinsi Yehova anavyoeleza msamaha wake: “Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.” (Isaya 1:18, italiki ni zetu.) Usemi “nyekundu sana” unaonyesha kwamba rangi hiyo ni nyangavu.a
-