-
“Ufufuo wa Kwanza”—Unaendelea Sasa!Mnara wa Mlinzi—2007 | Januari 1
-
-
Kuwapo kwa Kristo kunapoendelea, Wakristo watiwa-mafuta wanaokufa duniani wanabadilishwa, “kufumba na kufumbua jicho,” na kuwa viumbe wa roho wenye nguvu. (1 Wakorintho 15:52) Je, watiwa-mafuta wote watapokea thawabu yao ya kimbingu kabla ya vita vya Har–Magedoni? Hatujui.
-
-
Maswali Kutoka kwa WasomajiMnara wa Mlinzi—2007 | Januari 1
-
-
Pepo nne za dhiki zitakapoachiliwa, Waisraeli wote wa kiroho watakuwa wametiwa muhuri mara ya mwisho, ingawa wachache kati yao watakuwa bado hai katika mwili na lazima wamalize mwendo wao wa kidunia.
-