Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nuru kwa Mataifa
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • “Nami nitaweka ishara kati yao, nami nitawatuma hao waliookoka kwa mataifa, Tarshishi, na Puli, na Ludi, wavutao upinde, kwa Tubali na Yavani, visiwa vilivyo mbali; watu wasioisikia habari yangu, wala kuuona utukufu wangu; nao watahubiri utukufu wangu katika mataifa.”—Isaya 66:19.

  • Nuru kwa Mataifa
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Leo Wakristo watiwa-mafuta, wanaopata ufanisi katika nchi yao iliyorudishiwa hali nzuri, wanakuwa kama ishara ya kugutusha duniani. (Isaya 66:8) Wao ni ushuhuda halisi wa kuonyesha kwamba roho ya Yehova ina nguvu za kuvuta watu watiifu wanaosukumwa na mioyo yao kumtumikia Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki