Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ole wa Kwanza—Nzige
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • 2. Ni kitabu kipi cha Biblia kinachoeleza tauni ya nzige inayofanana na ile ambayo Yohana anaona, na tokeo layo lilikuwa nini juu ya Waisraeli wa kale?

      2 Kitabu cha Biblia cha Yoeli, kilichoandikwa wakati wa karne ya tisa K.W.K., kinaeleza habari ya tauni fulani ya wadudu, kutia na nzige, inayofanana na ile ambayo Yohana anaona. (Yoeli 2:1-11, 25)a

  • Ole wa Kwanza—Nzige
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • Tauni ya Nzige Leo

      5. Unabii wa Yoeli umekuwaje na utimizo tangu 1919?

      5 Kupatana na kuwaza kuzuri, sisi tungetarajia unabii wa Yoeli uwe na utimizo kamili katika wakati wa mwisho. Na ndivyo imekuwa! Kwenye mkusanyiko wa Wanafunzi wa Biblia katika Sida Pointi Ohaiyo, U.S.A., Septemba 1-8, 1919, mmimino wa roho ya Yehova unaostahili kuangaliwa uliwatendesha watu wake wapange kitengenezo tena kampeni ya pote katika tufe ya kuhubiri. Kati ya wote waliodai kuwa Wakristo, wao pekee ndio waliotambua kwamba Yesu alikuwa ameketishwa katika kiti cha ufalme akiwa Mfalme wa kimbingu katika 1914, nao walitumia jitihada yote katika kutangaza kotekote hizo habari njema. Kutoa ushuhuda kwao kusikokoma kukawa tauni yenye kutesa kwa Jumuiya ya Wakristo yenye kuasi imani.—Mathayo 24:3-8, 14; Matendo 1:8.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki