-
“Ufufuo wa Kwanza”—Unaendelea Sasa!Mnara wa Mlinzi—2007 | Januari 1
-
-
Wakati mmoja Paulo alimfufua kijana aliyeitwa Eutiko, ambaye alianguka chini kutoka kwenye dirisha la ghorofa ya tatu na ‘kuokotwa akiwa amekufa.’ Huo ndio ufufuo wa mwisho kati ya masimulizi tisa ya Biblia kuhusu ufufuo.—Matendo 20:7-12.a
-
-
“Ufufuo wa Kwanza”—Unaendelea Sasa!Mnara wa Mlinzi—2007 | Januari 1
-
-
a Masimulizi yale mengine manane yanapatikana katika 1 Wafalme 17:21-23; 2 Wafalme 4:32-37; 13:21; Marko 5:35, 41-43; Luka 7:11-17; 24:34; Yohana 11:43-45; Matendo 9:36-42.
-