Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Tumaini Hakika kwa Wapendwa Wako Ambao Wamekufa
    Biblia Inafundisha Nini Hasa?
  • Tumaini Hakika kwa Wapendwa Wako Ambao Wamekufa
    Biblia Inafundisha Nini Hasa?
    • Mjane akimkumbatia mwana wake baada ya kufufuliwa na Eliya

      Eliya alimfufua mwana wa mjane.—1 Wafalme 17:17-24

      Ufufuo wa Lazaro ni mmoja tu kati ya miujiza tisa ya ufufuo iliyorekodiwa katika Neno la Mungu.a Inafurahisha kusoma na kujifunza masimulizi hayo. Yanatufundisha kwamba Mungu hana ubaguzi, kwa kuwa waliofufuliwa walitia ndani watoto kwa watu wazima, wanaume kwa wanawake, Waisraeli na watu wasio Waisraeli. Na ni shangwe iliyoje inayotajwa katika masimulizi hayo! Kwa mfano, Yesu alipomfufua msichana mdogo, wazazi wake ‘walikuwa na shangwe kubwa.’ (Marko 5:42) Kwa kweli, Yehova alikuwa amewapa sababu ya kushangilia ambayo hawangesahau kamwe.

      Petro akimfufua Dorkasi

      Mtume Petro alimfufua mwanamke Mkristo aliyeitwa Dorkasi.—Matendo 9:36-42

      10 Bila shaka, watu waliofufuliwa na Yesu walikufa tena. Je, hilo linamaanisha kwamba hakukuwa na maana yoyote ya kuwafufua? Hapana. Masimulizi hayo ya Biblia yanathibitisha kweli muhimu na yanatupa tumaini.

  • Tumaini Hakika kwa Wapendwa Wako Ambao Wamekufa
    Biblia Inafundisha Nini Hasa?
    • a Masimulizi mengine yako katika 1 Wafalme 17:17-24; 2 Wafalme 4:32-37; 13:20, 21; Mathayo 28:5-7; Luka 7:11-17; 8:40-56; Matendo 9:36-42; na 20:7-12.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki