-
Siku ya Hukumu ya Mungu—Matokeo Yayo Yenye Shangwe!Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
8 Bila shaka, kuna hesabu isiyojulikana ambayo haitafufuliwa. Miongoni mwa hawa wangekuwa waandishi na Mafarisayo waliomkataa Yesu na mitume, “mtu wa uasi-sheria” wa kidini, na Wakristo wapakwa-mafuta “ambao wameangukia mbali.” (2 Wathesalonike 2:3; Waebrania 6:4-6; Mathayo 23:29-33, NW) Yesu alisema pia juu ya watu walio kama mbuzi wakati wa mwisho wa huu ulimwengu ambao huenda ndani ya “moto wa milele uliotayarishwa kwa ajili ya Ibilisi na malaika zake,” yaani, “kukatiliwa mbali milele.” (Mathayo 25:41, 46, NW) Hakuna ufufuo kwa hao!
-
-
Siku ya Hukumu ya Mungu—Matokeo Yayo Yenye Shangwe!Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
a Wale wanaofufuliwa kutoka katika bahari hawangetia ndani wakazi wafisadi wa dunia walioangamia katika Gharika ya siku ya Noa; uharibifu huo ulikuwa wa kukata maneno, kama utakavyokuwa utekelezo wa hukumu ya Yehova katika dhiki kubwa.—Mathayo 25:41, 46; 2 Petro 3:5-7.
-