-
Neno la Mungu Huandaa MwongozoHuduma ya Ufalme—1996 | Desemba
-
-
4 Unapomrudia mtu mzee uliyemwangushia Biblia na kile kitabu, unaweza kusema:
◼ “Tulipoongea wakati uliopita, tulikubaliana kwamba katika njia nyingi jamii imebadilika kuwa mbaya zaidi ikilinganishwa na vile maisha yalivyokuwa miaka michache tu iliyopita. Hata hivyo, nimerudi ili kukuonyesha kwamba Biblia hutoa matazamio ya ulimwengu bora zaidi kwa wakati ujao. [Soma Ufunuo 21:3, 4.] Kujua kwamba hili ni Neno la Mungu kwapaswa kututie moyo tuchunguze Biblia inasema nini zaidi.” Fungua kitabu Neno la Mungu kwenye sura ya 14, na usome mafungu 3-4. Toa funzo la Biblia nyumbani bila malipo.
-
-
Neno la Mungu Huandaa MwongozoHuduma ya Ufalme—1996 | Desemba
-
-
8 Ikiwa katika ziara ya kwanza uliongea kuhusu uhitaji wa mwanadamu wa kupata mwongozo, unaweza kuendeleza mazungumzo yako kwenye ziara ya kurudia kwa kusema:
◼ “Tulipokutana mara ya kwanza, tulikubaliana kwamba twahitaji mwongozo kutoka kwa Mungu ikiwa tutakabiliana kwa mafanikio na matatizo ya maisha. Kuhusu hilo, nafikiri utathamini maelezo ya kumalizia ambayo yanatolewa katika kitabu nilichokuachia. [Soma mafungu 12-13 kwenye ukurasa 189 katika kitabu Neno la Mungu.] Nafurahi kukutolea mtaala wa funzo la Biblia nyumbani bila malipo, na nimejitayarisha kukuonyesha jinsi ya kufanya hivyo sasa.”
-