-
Vitu Ambavyo Lazima Vitukie KaribuniUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
5. Ufunuo uliwasilishwaje kwa mtume Yohana na kisha kwa makundi?
5 Ufunuo 1:1b, 2, NW unaendelea kusema: “Na yeye [Yesu] alituma malaika wake na kuutoa [Ufunuo] kwa njia ya ishara kupitia yeye kwa mtumwa wake Yohana, ambaye alitoa ushahidi kwa neno ambalo Mungu alitoa na kwa ushahidi ambao Yesu Kristo alitoa, hata kwa mambo yote ambayo yeye aliona.” Hivyo, Yohana alipokea maandishi yaliyovuviwa kupitia mjumbe wa kimalaika. Yeye aliuandika katika hati-kunjo, akiupeleka kwa makundi ya wakati wake.
-
-
Vitu Ambavyo Lazima Vitukie KaribuniUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
3. (a) Ni nani walio “watumwa” ambao wanamtii Yesu Kristo? (b) Ni kazi gani wanayofanya wale “watumwa” waaminifu chini ya mwelekezo wa kimalaika?
3 Mtume Yohana, aliyeandika Ufunuo, anajieleza mwenyewe kuwa mmoja wa watumwa hao. Yeye ndiye aliyekuwa mtume wa mwisho kuishi na mmoja wa kile kikundi cha “watumwa” waliochaguliwa na kupakwa mafuta ambao wanarithi uhai usioweza kufa katika mbingu.
-