Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mbingu Mpya na Dunia Mpya
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • Na yeye akasema kwa mimi: ‘Yamekwisha tukia! Mimi ndiye Alfa na Omega, mwanzo na mwisho.’”—Ufunuo 21:5, 6a, NW.

  • Mbingu Mpya na Dunia Mpya
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • Kwani, ahadi hizi za Yehova ni hakika sana hivi kwamba yeye hunena kama tayari zilitimia: “Yamekwisha tukia!” Je! Yehova siye “Alfa na Omega . . . , Mmoja ambaye yuko na ambaye alikuwako na ambaye anakuja, yule Mweza Yote”? (Ufunuo 1:8, NW) Kweli kweli ndiye! Yeye mwenyewe hujulisha wazi: “Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho, na mbali na mimi hakuna Mungu.” (Isaya 44:6, NW) Akiwa hivyo, yeye anaweza kuvuvia unabii na kuutimiza katika kila jambo dogo-dogo. Jinsi inavyoimarisha imani!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki