-
“Kujijenga Wenyewe juu ya Imani Yenu Iliyo Takatifu Zaidi”“Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu”
-
-
Laiti ungesikiliza amri zangu! Ndipo amani yako ingekuwa kama mto, na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.” (Isaya 48:17, 18) Je, umewahi kutua na kufikiria jinsi ambavyo maneno hayo yanatia moyo?
8 Katika andiko hilo, Yehova anatukumbusha kwamba tunapata faida kwa kumtii. Anaahidi kutubariki kwa njia mbili ikiwa tutamtii.
-
-
“Kujijenga Wenyewe juu ya Imani Yenu Iliyo Takatifu Zaidi”“Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu”
-
-
Pili, uadilifu wetu utakuwa kama mawimbi ya bahari. Ukisimama ufuoni na kutazama mawimbi yakiinuka na kushuka, huna shaka lolote kwamba yatakuwako daima. Unajua kwamba mawimbi hayo yataendelea kuinuka na kushuka miaka nenda miaka rudi. Yehova anasema kwamba uadilifu wako, yaani, maisha yako ya kufanya yaliyo sawa, yanaweza kuwa hivyo.
-