Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Jambo Gani Huifikia Nafsi Wakati wa Kifo?
    Ni Nini Hutupata Tunapokufa?
    • Wengine husema kwamba katika kipindi hicho nafsi huenda kwenye pirigatori, ambapo yaweza kutakaswa na dhambi ndogo na hivyo kuwa yenye kustahili kuingia mbinguni.a

      10. Kwa nini haipatani na maandiko kuamini kwamba nafsi zinaendelea kukaa kwa muda katika pirigatori baada ya kifo, na namna gani jambo lililompata Lazaro lahakikisha hilo?

      10 Walakini, kama tulivyoona, nafsi ni mtu mwenyewe. Mtu anapokufa, nafsi inakufa. Kwa hiyo, hakuna maisha yenye ufahamu baada ya kifo. Kwa kweli, Lazaro alipokufa, Yesu Kristo hakusema kwamba alikuwa katika pirigatori, katika Limbo, au katika “hali ya katikati” nyingine yoyote. Badala yake, Yesu alisema tu: “Lazaro analala usingizi.” (Yohana 11:11, ZSB) Bila shaka, Yesu, aliyejua kweli kuhusu jambo linaloipata nafsi wakati wa kifo, aliamini kwamba Lazaro hakuwa na ufahamu, hakuwako.

  • Jambo Gani Huifikia Nafsi Wakati wa Kifo?
    Ni Nini Hutupata Tunapokufa?
    • a Kulingana na New Catholic Encyclopedia, “Kwa ujumla Mababa wa [Kanisa] huwa wazi katika uthibitisho wao wa kuwako kwa pirigatori.” Lakini, kitabu hiki cha marejezo pia chakubali kwamba “fundisho la Kikatoliki kuhusu pirigatori lategemea juu ya pokeo, na si juu ya Andiko Takatifu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki