-
Mitindo InayobadilikaAmkeni!—2003 | Septemba 8
-
-
Kufikia karne ya kwanza W.K., vitambaa na rangi mpya zikapatikana. Waroma matajiri walinunua hariri kutoka China au India, ingawa gharama ya kuzisafirisha ilifanya hariri zilizofumwa ziwe ghali kama dhahabu. Sufu iliyotiwa rangi kutoka Tiro ilipendwa sana pia. Kilo moja ya sufu hiyo iligharimu dinari 2,000—mshahara wa miaka sita wa mfanyakazi wa kawaida. Kuwapo kwa rangi hizo mpya pamoja na vitambaa hivyo vipya, kuliwawezesha wanawake Waroma wenye mali kuvaa stola, yaani vazi refu la nje la pamba la bluu kutoka India au hariri ya manjano kutoka China.
-
-
Mitindo InayobadilikaAmkeni!—2003 | Septemba 8
-
-
[Picha katika ukurasa wa 4]
Katika Roma ya kale wanawake walivaa stola
[Hisani]
From the book Historia del Traje, 1917
-