-
Wahama-Hamaji wa Asia Waliofanyiza MilkiAmkeni!—2008 | Mei
-
-
Mashambulizi yaliyofanywa kusini mwa China dhidi ya milki tajiri ya Sung yalifanikiwa. Kublai Khan alijitangaza kuwa mwanzilishi wa milki mpya ya China, na kuiita Yuan. Jiji kuu la milki hiyo leo linaitwa Beijing. Baada ya kuwashinda wale ambao bado walikuwa wakiunga mkono milki ya Sung mwishoni mwa miaka ya 1270, Kublai alitawala China iliyounganishwa kwa mara ya kwanza tangu kuanguka kwa milki ya Tang mnamo 907.
-
-
Wahama-Hamaji wa Asia Waliofanyiza MilkiAmkeni!—2008 | Mei
-
-
Khan Mkuu aliyefuata alikuwa Mongke, ambaye alitawazwa mnamo 1251. Yeye na nduguye Kublai walishambulia milki ya Sung kusini mwa China, huku jeshi lingine likishambulia maeneo ya magharibi.
-
-
Wahama-Hamaji wa Asia Waliofanyiza MilkiAmkeni!—2008 | Mei
-
-
Huko China, mapambano ya kushindania utawala yalipunguza mamlaka ya wazao wa Kublai.
-