Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufalme “Ambao Hautaangamizwa Milele”
    Mwabudu Mungu wa Pekee wa Kweli
    • Watawala wa Ufalme wa Mungu

      6. (a) Maandiko yanaonyeshaje kwamba Ufalme wa Kimesiya unawakilisha enzi kuu ya Yehova? (b) Mambo tunayojifunza kuhusu Ufalme yanapasa kutuchochea kufanya nini?

      6 Mojawapo ya mambo ya kwanza ambayo tunajifunza ni kwamba Ufalme huo wa Kimesiya unawakilisha enzi kuu ya Yehova mwenyewe. Yehova ndiye aliyempa Mwanaye “mamlaka, na utukufu, na ufalme.” Baada ya Mwana wa Mungu kupewa mamlaka ya kuanza kutawala akiwa Mfalme, sauti zilitangaza hivi huko mbinguni: “Ufalme wa ulimwengu ulipata kuwa ufalme wa Bwana wetu [Yehova Mungu] na wa Kristo wake, naye [Yehova] atatawala akiwa mfalme milele na milele.” (Ufunuo 11:15) Kwa hiyo kila jambo tunalojifunza kuhusu Ufalme huo na mambo ambayo unatimiza yanaweza kutufanya tumkaribie Yehova zaidi. Yale tunayojifunza yanapasa kutuchochea tujitiishe kwa utawala wake milele.

  • Ufalme “Ambao Hautaangamizwa Milele”
    Mwabudu Mungu wa Pekee wa Kweli
    • 8. (a) Tofauti na serikali za wanadamu, kwa nini serikali ya Mungu itadumu? (b) Kuna uhusiano gani kati ya “mtumwa mwaminifu na mwenye busara” na serikali hiyo ya kimbingu?

      8 Ufalme wa Mungu ni serikali thabiti yenye kudumu. Serikali hiyo itadumu kwa sababu Yehova hawezi kufa. (Zaburi 146:3-5, 10)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki