Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufalme “Ambao Hautaangamizwa Milele”
    Mwabudu Mungu wa Pekee wa Kweli
    • 7. Kwa nini tunapendezwa sana kujua kwamba Yehova amemtawaza Yesu Kristo kuwa Mtawala Msaidizi?

      7 Kumbuka pia kwamba Yehova amemtawaza Yesu Kristo kuwa Mtawala Msaidizi. Yesu anajua mahitaji yetu vizuri zaidi kuliko tunavyoyajua kwa sababu akiwa Stadi wa Kazi, Mungu alimtumia kuumba dunia na wanadamu. Isitoshe, tangu wanadamu walipoumbwa, Yesu alionyesha kwamba ‘furaha yake ilikuwa pamoja na wanadamu.’ (Mithali 8:30, 31; Wakolosai 1:15-17) Anawapenda sana wanadamu hivi kwamba alikuja duniani kwa hiari na kutoa uhai wake uwe fidia kwa ajili yetu. (Yohana 3:16) Kwa hiyo alitukomboa kutoka katika dhambi na kifo na akatupatia nafasi ya kuishi milele.—Mathayo 20:28.

  • Ufalme “Ambao Hautaangamizwa Milele”
    Mwabudu Mungu wa Pekee wa Kweli
    • Tofauti na wafalme wanadamu, Yesu Kristo, ambaye amekabidhiwa ufalme na Mungu, hawezi kufa. (Waroma 6:9; 1 Timotheo 6:15, 16)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki