Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Abrahamu—Mwanamume Mwenye Upendo
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Januari 1
    • Abrahamu​—Mwanamume Mwenye Upendo

      Abrahamu amelemewa na huzuni. Sara, mke wake mpendwa, amekufa. Mwanamume huyu mzee anafikiria mambo mengi sana anapomzika. Huzuni inapoongezeka moyoni, Abrahamu analia. (Mwanzo 23:1, 2) Machozi hayo si ishara ya udhaifu ambao anapaswa kuuonea aibu, bali yanathibitisha mojawapo ya sifa nzuri zaidi za Abrahamu—upendo wake.

  • Abrahamu—Mwanamume Mwenye Upendo
    Mnara wa Mlinzi—2012 | Januari 1
    • Pia, tunaweza kutambua upendo wa Abrahamu kupitia jinsi alivyotenda wakati Sara, mke wake mpendwa, alipokufa. Abrahamu alimlilia mke wake. Ingawa alikuwa mwanamume hodari na mwenye nguvu, hakuogopa kuonyesha huzuni yake. Abrahamu alikuwa mwanamume mwenye nguvu lakini mpole.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki