-
Yehova Ni Kimbilio LetuMnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
-
-
utawakanyagia-kanyagia chini mwana-simba mwenye manyoya shingoni na nyoka mkubwa.” (Zaburi 91:13, NW)
-
-
Yehova Ni Kimbilio LetuMnara wa Mlinzi—2001 | Novemba 15
-
-
18. “Nyoka mkubwa” anaweza kutukumbusha nani, nasi tunahitaji kufanya nini tukishambuliwa?
18 “Nyoka mkubwa” anayetajwa katika Zaburi 91 mstari wa 13 anatukumbusha “joka kubwa mno, nyoka wa awali, yeye aitwaye Ibilisi na Shetani.” (Ufunuo 12:7-9; Mwanzo 3:15) Yeye ni kama mnyama mtambaazi mkubwa sana anayeweza kuponda na kumeza windo lake. (Yeremia 51:34) Shetani anapojaribu kutunasa, na kutuponda kwa mikazo ya ulimwengu huu, kisha kutumeza, na tujinasue na kumkanyagia-kanyagia chini ‘nyoka huyu mkubwa.’ (1 Petro 5:8) Mabaki watiwa-mafuta wanapaswa kufanya vivyo hivyo ikiwa watashiriki katika kutimizwa kwa andiko la Waroma 16:20.
-