Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sinagogi—Mahali Ambapo Yesu na Wanafunzi Wake Walihubiri
    Mnara wa Mlinzi—2010 | Aprili 1
    • Karibu katika kila mji, kulikuwa na shule kwenye ua wa sinagogi na mara nyingi, shule hiyo ilikuwa katika jengo la sinagogi. Tunaweza kuwazia chumba ambacho kimejaa wanafunzi wachanga wakijifunza kusoma herufi kubwa zilizoandikwa na mwalimu kwenye bamba la nta. Shule hizo ziliwasaidia Wayahudi wa kale wajue kusoma na kuandika, na hivyo hata watu wa kawaida wangeweza kusoma Maandiko.

  • Sinagogi—Mahali Ambapo Yesu na Wanafunzi Wake Walihubiri
    Mnara wa Mlinzi—2010 | Aprili 1
    • [Picha katika ukurasa wa 18]

      Shule katika sinagogi ambapo wavulana wenye umri wa miaka 6 hadi 13 walifunzwa

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki