Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 4. Ni Sahihi Kisayansi
    Amkeni!—2007 | Novemba
    • Maneno yanayopatana na sayansi.

      Miaka 3,500 iliyopita, Biblia ilisema kwamba dunia inaning’inia “pasipo na kitu.” (Ayubu 26:7) Katika karne ya nane K.W.K., Isaya alisema kwa njia ya wazi kuhusu “mviringo wa [au, duara ya] dunia.” (Isaya 40:22) Je, kusema kwamba dunia ni ya mviringo na inaning’inia pasipo kitu si wazo linalopatana na sayansi ya kisasa?

  • 4. Ni Sahihi Kisayansi
    Amkeni!—2007 | Novemba
Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki