Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Aghadhibikia Mataifa
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Mbingu halisi zilizo juu yetu huonekana kuwa zimepindika machoni petu, kama kitabu cha kale cha hati-kunjo, ambamo kwa kawaida maandishi yalikuwa upande wa ndani. Msomaji amalizapo kusoma maandishi yaliyo upande wa ndani, yeye huikunja na kuihifadhi hati-kunjo hiyo. Vivyo hivyo, “mbingu zitakunjwa kama hati-kunjo,” ikimaanisha kwamba serikali za binadamu lazima zikome. Lazima zikomeshwe kwenye Har–Magedoni zifikapo ukurasa wa mwisho wa historia yake.

  • Yehova Aghadhibikia Mataifa
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • [Picha katika ukurasa wa 360]

      “Mbingu zitakunjwa kama hati-kunjo”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki