-
Jiji Lenye Uzuri wa Kung’aaUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
“Lakini kitu chochote kisicho kitakatifu na yeyote ambaye huendeleza kitu cha kunyarafisha na uwongo hataingia ndani yalo kwa vyovyote; ila wale tu walioandikwa katika hati-kunjo ya uhai ya Mwana-Kondoo. (Ufunuo 21:27, NW)
-
-
Jiji Lenye Uzuri wa Kung’aaUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
“Wale tu walioandikwa katika hati-kunjo ya uhai ya Mwana-Kondoo,” 144,000 ndio mwishowe huingia ndani ya Yerusalemu Jipya.b—Ufunuo 13:8; Danieli 12:3, NW.
-
-
Jiji Lenye Uzuri wa Kung’aaUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
b Angalia kwamba “hati-kunjo ya uhai ya Mwana-Kondoo” ina majina ya 144,000 tu wa Israeli wa kiroho. Hivyo inatofautiana na “hati-kunjo ya uhai” ambayo inatia ndani wale ambao wanapokea uhai wa milele duniani.—Ufunuo 20:12, NW.
-