Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mungu Afanya Agano na Abrahamu
    Biblia—Ina Ujumbe Gani?
    • Kupitia maagano mbalimbali, au ahadi takatifu, Yehova alifunua hatua kwa hatua jinsi ambavyo kusudi lake kuhusu Mkombozi aliyeahidiwa katika Edeni lingetimizwa. Agano lililofanywa pamoja na Abrahamu lilionyesha kwamba Yule aliyeahidiwa angekuja kupitia ukoo wa Abrahamu. Maagano yaliyofanywa baadaye yalisaidia kumtambulisha..

  • Mungu Ambariki Abrahamu na Familia Yake
    Biblia—Ina Ujumbe Gani?
    • Yakobo alimalizia maisha yake huko Misri, akiwa na familia yake iliyokuwa ikizidi kuongezeka. Alipokuwa akikaribia kufa, alitabiri kwamba Mkombozi, au Uzao ulioahidiwa, angekuwa Mtawala mwenye nguvu ambaye angezaliwa katika ukoo wa mwana wake Yuda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki