-
Kisasi cha Vijiumbe-MaradhiAmkeni!—1996 | Februari 22
-
-
Sababu ya tatu ya kurudi kwa vijiumbe-maradhi ni mabadiliko katika mwenendo wa binadamu. Vijiumbe-maradhi ambavyo hupitishwa kingono vimeongezeka na kuenea likiwa tokeo la kiwango kisicho na kifani cha mahusiano ya ngono ya wenzi kadhaa, ambayo yamekuwa ndiyo kitabia cha sehemu ya mwisho ya karne ya 20. Kielelezo kimoja ni kuenea kwa UKIMWI.b
-
-
Kisasi cha Vijiumbe-MaradhiAmkeni!—1996 | Februari 22
-
-
b Vielelezo vingine vya maradhi yenye kupitishwa kingono: Ulimwenguni pote kuna watu wapatao 236 milioni walioambukizwa trichomoniasis na watu 162 milioni hivi wenye maambukizo ya chlamydial. Kila mwaka kuna visa vipya vipatavyo 32 milioni vya chunjua ya viungo vya uzazi, 78 milioni vya kisonono, 21 milioni vya herpes ya viungo vya uzazi, 19 milioni vya kaswende, na milioni 9 vya chancroid.
-