-
Pambano la Muda Mrefu Dhidi ya UtumwaAmkeni!—2002 | Juni 22
-
-
Waroma waliendeleza utumwa hata kuliko Wagiriki. Katika siku za mtume Paulo, huenda nusu ya idadi ya wakazi wa jiji la Roma—yamkini mamia ya maelfu ya watu—walikuwa watumwa. Na yaonekana kwamba Milki ya Roma ilihitaji watumwa nusu milioni kila mwaka ili kujenga minara ya ukumbusho, kuchimba migodi, kulima, na kufanya kazi katika nyumba kubwa za matajiri.a Kwa kawaida, watu waliotekwa vitani walifanywa kuwa watumwa. Basi, yawezekana kwamba Milki ya Roma iliendeleza vita hasa kwa sababu ilihitaji watumwa wengi zaidi.
-
-
Pambano la Muda Mrefu Dhidi ya UtumwaAmkeni!—2002 | Juni 22
-
-
a Kitabu kimoja cha kale kinasema kwamba huenda ikawa Waroma fulani matajiri sana walikuwa na watumwa 20,000.
-