Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Pambano la Muda Mrefu Dhidi ya Utumwa
    Amkeni!—2002 | Juni 22
    • Waroma waliendeleza utumwa hata kuliko Wagiriki. Katika siku za mtume Paulo, huenda nusu ya idadi ya wakazi wa jiji la Roma—yamkini mamia ya maelfu ya watu—walikuwa watumwa. Na yaonekana kwamba Milki ya Roma ilihitaji watumwa nusu milioni kila mwaka ili kujenga minara ya ukumbusho, kuchimba migodi, kulima, na kufanya kazi katika nyumba kubwa za matajiri.a Kwa kawaida, watu waliotekwa vitani walifanywa kuwa watumwa. Basi, yawezekana kwamba Milki ya Roma iliendeleza vita hasa kwa sababu ilihitaji watumwa wengi zaidi.

  • Pambano la Muda Mrefu Dhidi ya Utumwa
    Amkeni!—2002 | Juni 22
    • a Kitabu kimoja cha kale kinasema kwamba huenda ikawa Waroma fulani matajiri sana walikuwa na watumwa 20,000.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki