-
Sehemu ya 4—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya DuniaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Shem Irofa’alu, katika Visiwa vya Solomon, alihisi daraka la kweli kuelekea wale waliomtegemea akiwa kiongozi wao wa kidini. Baada ya kusoma kitabu Kutoka Paradiso Iliyopotea Mpaka Paradiso Iliyopatikana cha Watch Tower Society, aling’amua kwamba mtu fulani alikuwa amemwambia uwongo. Yeye na walimu wa kidini chini ya usimamizi wake walisikiliza mazungumzo waliyokuwa nayo pamoja na Mashahidi, wakauliza maswali, na kuangalia maandiko katika Biblia. Kisha wakaafikiana kwamba wataka kuwa Mashahidi wa Yehova, hivyo wakageuza makanisa katika vijiji vyao 28 kuwa Majumba ya Ufalme.
-
-
Sehemu ya 4—Kuwa Mashahidi Hadi Sehemu ya Mbali Zaidi Sana ya DuniaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Picha katika ukurasa wa 474]
Baada ya Shem Irofa’alu na washiriki wake kusadikishwa kwamba yale ambayo Mashahidi wa Yehova walikuwa wakifundisha yalikuwa kwa kweli ndiyo kweli, makanisa katika vijiji 28 katika Visiwa vya Solomon yaligeuzwa kuwa Majumba ya Ufalme
-