-
Kushangilia Katika Tumaini LetuMnara wa Mlinzi—2012 | Machi 15
-
-
Kisha alitaja tumaini zuri ajabu ambalo Yehova anauahidi umati usio na hesabu wa kondoo wengine: “Uumbaji [wanadamu] unangojea na kutazamia kwa hamu kufunuliwa kwa wana wa Mungu [watiwa-mafuta].
-
-
Kushangilia Katika Tumaini LetuMnara wa Mlinzi—2012 | Machi 15
-
-
Kutimizwa kwa tumaini hilo kunahusiana na “kufunuliwa kwa wana wa Mungu.” Watiwa-mafuta waliotukuzwa ndio sehemu ya pili ya ule “uzao.” ‘Watafunuliwa’ wakati watakaposhiriki pamoja na Kristo kuuharibu mfumo mwovu wa mambo wa Shetani. (Ufu. 2:26, 27) Hilo litawaletea ukombozi kondoo wengine wanaotoka katika dhiki kuu.—Ufu. 7:9, 10, 14.
12. Kufunuliwa kwa watiwa-mafuta kutawaletea wanadamu manufaa gani mazuri?
12 “Uumbaji” wa kibinadamu utapata kitulizo kikubwa kama nini wakati wa Utawala wa ile Miaka Elfu Moja wa Kristo! Wakati huo, “wana wa Mungu” waliotukuzwa ‘watafunuliwa’ hata zaidi watakapotenda wakiwa makuhani pamoja na Kristo, wakitumia faida za dhabihu ya fidia ya Yesu kwa ajili ya wanadamu.
-