-
Kungoja kwa “Taraja Lenye Hamu”Mnara wa Mlinzi—1998 | Septemba 15
-
-
“Taraja Lenye Hamu la Viumbe”
12, 13. Viumbe wa kibinadamu ‘walitiishwaje chini ya ubatili,’ nao kondoo wengine wana hamu gani?
12 Je, kondoo wengine pia wana jambo fulani ambalo kwa ajili yake wao huishi wakiwa na taraja lenye hamu? Kwa hakika kabisa wanalo. Baada ya kuzungumza juu ya tumaini tukufu la wale waliofanywa na Yehova kuwa “wana” wake wazaliwa kwa roho na “warithi-washirika pamoja na Kristo” katika Ufalme wa Kimbingu, Paulo alisema: “Taraja lenye hamu la viumbe linangoja kufunuliwa kwa wana wa Mungu.
-
-
Kungoja kwa “Taraja Lenye Hamu”Mnara wa Mlinzi—1998 | Septemba 15
-
-
14. Ni nini litakalohusika katika ‘kufunuliwa kwa wana wa Mungu,’ nalo litatokezaje ‘kuwekwa huru kwa wanadamu kutoka katika utumwa wa uharibifu’?
14 Mabaki ya “wana wa Mungu” watiwa-mafuta lazima ‘wafunuliwe’ kwanza. Hilo litahusisha nini? Katika wakati wa Mungu uliowekwa, itadhihirika wazi kwa kondoo wengine kwamba mwishowe watiwa-mafuta ‘wametiwa muhuri’ na kutukuzwa ili kutawala na Kristo. (Ufunuo 7:2-4) “Wana wa Mungu” wenye kufufuliwa ‘watafunuliwa’ pia wakati ambapo watashirikiana na Kristo kuharibu mfumo wa mambo wa Shetani ulio mwovu. (Ufunuo 2:26, 27; 19:14, 15) Kisha, wakati wa Utawala wa Miaka Elfu wa Kristo, ‘watafunuliwa’ tena wakiwa njia ambazo kwazo manufaa za dhabihu ya fidia ya Yesu itatolewa kwa “viumbe” wa kibinadamu. Hilo litatokeza ‘kuwekwa huru kwa wanadamu kutoka katika utumwa wa uharibifu’ na hatimaye kuingia katika “uhuru wenye utukufu wa watoto wa Mungu.” (Waroma 8:21; Ufunuo 20:5; 22:1, 2) Wakiwa na matazamio hayo matukufu, je, inashangaza kwamba kondoo wengine “[wa]nangoja kufunuliwa kwa wana wa Mungu” kwa “taraja lenye hamu”?—Waroma 8:19.
-