-
Afrika Kusini2007 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Mwaka wa 1910, William W. Johnston kutoka Glasgow, Scotland, alikuja Afrika Kusini akiwa ametumwa afungue ofisi ya tawi ya Wanafunzi wa Biblia. Yamkini akiwa katika miaka yake ya 30 na kitu, Ndugu Johnston alikuwa mkomavu na mwenye kutegemeka. Ofisi ya tawi aliyoanzisha ilikuwa chumba kidogo katika jengo fulani huko Durban.
-
-
Afrika Kusini2007 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Ndugu Johnston aliwasiliana na kikundi hicho na kuwatembelea kwa ukawaida ili kuongoza mikutano na kuwapa msaada.
-
-
Afrika Kusini2007 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
MAENDELEO YA KITHEOKRASI WAKATI WA VITA
Mwaka wa 1914 ulikuwa muhimu kwa kikundi kidogo cha watumishi wa Yehova nchini Afrika Kusini, kama ilivyokuwa kwa watu wa Mungu ulimwenguni pote. Wengi walitarajia kupokea thawabu yao mbinguni wakati huo. Katika ripoti ya mwaka ambayo Ndugu Johnston alituma katika makao makuu huko Brooklyn, New York, aliandika hivi: “Katika ripoti ya mwaka uliopita, nilitaja kwamba ninatumainia kutuma ripoti inayofuata katika makao makuu mbinguni. Tumaini hilo halikutimia.” Hata hivyo, aliongeza kusema: “Mwaka ambao umepita umekuwa na shughuli nyingi sana kuliko wakati mwingine wowote katika kazi ya mavuno barani Afrika.”
-
-
Afrika Kusini2007 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Ndugu Johnston alisafiri kilomita 8,000 kotekote nchini ili kuwaonyesha watu filamu hiyo.
-
-
Afrika Kusini2007 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Picha katika ukurasa wa 74]
Kutaniko la Durban na William W. Johnston, 1915
-