-
Urusi2008 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Kitabu cha Mwaka cha 1947 (Kiingereza) kilisema hivi: “Mashahidi hawana vichapo vyovyote, wala Mnara wa Mlinzi lenye jalada linalovutia. . . . Mara nyingi gazeti hilo linanakiliwa kwa mkono na kugawanywa kwa wengine . . . Nyakati nyingine, ndugu wanaopeleka vichapo hivyo wanashikwa na kufungwa wakipatikana na Mnara wa Mlinzi.”
-
-
Urusi2008 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
“Vichapo vya Biblia ambavyo viliingizwa nchini kwa siri na kwa shida sana vilitupatia ‘nguvu zinazopita zile za kawaida’ na hekima ya kupambana na hali hiyo. (2 Kor. 4:7)
-