-
Paradiso Yarudishwa!Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Unabii wa Isaya ambao umedumu miaka 200 watimia. Badala ya huzuni na majonzi ya taifa hilo huko Babiloni, sasa ni shangwe na furaha katika nchi iliyorudishwa. Yehova ametimiza ahadi yake. Paradiso—paradiso halisi na ya kiroho vilevile—imerudishwa!
-
-
Paradiso Yarudishwa!Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Basi, yaonekana kwamba maneno ya Isaya sura ya 35 yalitimizwa katika karne ya kwanza W.K. Yesu na wanafunzi wake waliwawezesha vipofu kuona tena kihalisi na viziwi kusikia tena kwa njia ya mwujiza. Waliwawezesha “vilema” kutembea na mabubu kusema tena. (Mathayo 9:32; 11:5; Luka 10:9) Jambo la maana zaidi ni kwamba wenye mioyo minyofu waliponyoka kutoka dini isiyo ya kweli nao wakaanza kufurahia paradiso ya kiroho katika kutaniko la Kikristo. (Isaya 52:11; 2 Wakorintho 6:17)
-
-
Paradiso Yarudishwa!Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
23, 24. Maneno ya Isaya yametimia kwa njia zipi miongoni mwa watu wa Mungu tangu mwaka wa 1919?
23 Hata hivyo, mambo yalibadilika mwaka wa 1919. Yehova aliwatoa watu wake utekwani. Walianza kuyakataa mafundisho yasiyo ya kweli yaliyochafua ibada yao hapo awali. Basi wakaponywa. Wakaingia katika paradiso ya kiroho, ambayo yaendelea kusambaa duniani kote hata sasa. Vipofu wanajifunza kuona na viziwi kusikia kwa njia ya kiroho—wakitambua waziwazi utendaji wa roho takatifu ya Mungu, daima wakitambua uhitaji wa kukaa karibu na Yehova. (1 Wathesalonike 5:6; 2 Timotheo 4:5)
-
-
Paradiso Yarudishwa!Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
26. Maneno ya Isaya huwatiaje nguvu Wakristo leo?
26 Ingawa Wakristo wa kweli wanangojea kurudishwa kwa Paradiso halisi duniani, hata sasa wao hufurahia baraka za paradiso ya kiroho.
-