-
Kizazi Kilicho HatariniAmkeni!—2001 | Septemba 8
-
-
La kusikitisha hata zaidi ni kwamba matineja hujiua kwa sababu ya kushuka moyo. Kwa mujibu wa Taasisi ya Kitaifa ya Marekani ya Masuala ya Akili, asilimia 7 ya vijana walioshuka moyo sana hujiua.a Hata takwimu hiyo haifunui waziwazi tatizo lenyewe, kwani yaaminika kwamba kati ya kila kijana anayejiua, wengine wengi huwa wamejaribu kufanya hivyo. Basi ndiyo sababu ripoti moja ya Baraza la Carnegie la Ustawi wa Vijana Wanaobalehe yasema hivi kwa kufaa: “Siku hizi kupuuza matatizo ya vijana wanaobalehe ni kusababisha msiba. Kupuuza mambo hivyo huhatarisha kizazi.”
-
-
Kizazi Kilicho HatariniAmkeni!—2001 | Septemba 8
-
-
a Wataalamu fulani wanaamini kwamba takwimu sahihi ya vijana wanaojiua ni kubwa zaidi, kwani vifo fulani vinavyosemwa kuwa vya aksidenti vyaweza kuwa ni visa vya kujiua.
-