Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Je, Suluhisho Ni Kuabudu Jinsi Upendavyo?
    Amkeni!—2002 | Aprili 22
    • Uchunguzi uliofanywa huko Kanada kuhusu watu ambao wanaabudu jinsi wapendavyo ulikuwa na matokeo kama hayo. Gazeti la Alberta Report lasema hivi: ‘Watu wengi sasa wanaamini karibu kila kitu wanachoweza kuwazia bila sababu yoyote. Na tunapojaribu kuchunguza jinsi ibada yao inavyowasaidia maishani, tunagundua kwamba haiwapi mwongozo wowote. Haina kanuni thabiti kuhusu yaliyo sawa. Kwa hiyo mambo ambayo wanaamini hayana umuhimu wowote.’ Gazeti hilo lilisema kuhusu “mungu aliyegawanywa” kwa sababu watu ambao wanaabudu jinsi wapendavyo ‘wanachagua-chagua mambo ya kuamini kutoka sehemu tofauti-tofauti za mafundisho ya dini.’

  • Je, Suluhisho Ni Kuabudu Jinsi Upendavyo?
    Amkeni!—2002 | Aprili 22
    • Gazeti la Alberta Report lilisema hivi: ‘Sasa mtu anaweza kufuata maoni yake mwenyewe kuhusu dini, na ndiyo sababu kuna mamilioni ya mafundisho ya kidini katika nchi yetu.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki