Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Historia Inayopendeza ya Siria
    Amkeni!—2003 | Februari 8
    • Kusini kidogo ya Aleppo kuna eneo la Tell Mardikh, jiji la kale la Ebla lililokuwa na utawala wake. Ebla lilikuwa jiji kuu la biashara kaskazini mwa Siria kuanzia mwaka wa 2,600 K.W.K. hadi 2,240 K.W.K. hivi. Mabaki ya hekalu la Ishtar, mungu wa kike wa Babiloni, yamefukuliwa hapo. Mabamba ya udongo 17,000 yalipatikana wakati jumba la mfalme lilipofukuliwa. Vitu vilivyopatikana Ebla vimo katika jumba la makumbusho la Idlib, mji mdogo ulio umbali wa kilometa 25 kutoka eneo hilo.

  • Historia Inayopendeza ya Siria
    Amkeni!—2003 | Februari 8
    • [Picha katika ukurasa wa 26]

      Jumba la mfalme huko Ebla

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki