-
Kujulisha Habari Njema Bila Kuacha (1942-1975)Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Kichapo hicho kipya kilitia ndani mazungumzo juu ya kila kitabu cha Biblia, yakitoa habari ya msingi ya kitabu, kama vile ni nani aliyekiandika, wakati gani na mahali gani kiliandikiwa, na uthibitisho wa uasilia wacho. Halafu ukaja muhtasari wa kitabu hicho, ukifuatwa na sehemu yenye kichwa “Kwa Nini Ni Chenye Mafaa,” ambayo ilionyesha jinsi kitabu hicho hususa cha Biblia kilivyo cha thamani kubwa kwa msomaji. Kikiwa chombo chenye thamani katika elimu ya Biblia yenye kuendelea ya Mashahidi wa Yehova, kichapo hicho kingali kinatumiwa kikiwa kitabu cha mafundisho katika Shule ya Huduma ya Kitheokrasi miaka kama 30 baada ya kutolewa kwacho!g
-
-
Kujulisha Habari Njema Bila Kuacha (1942-1975)Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
g Kitabu “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa” kilipatanishwa na habari za kisasa katika 1990.
-