-
Mambo Makuu Katika Kitabu cha Tano cha ZaburiMnara wa Mlinzi—2006 | Septemba 1
-
-
139:17, 18. Je, tunapendezwa na kumjua Yehova? (Methali 2:10) Ikiwa ndivyo, basi tumepata chemchemi ya furaha yenye kudumu. Mawazo ya Yehova “ni mengi kuliko hata chembe za mchanga.” Sikuzote tutakuwa na mengi ya kujifunza kumhusu.
-
-
Mambo Makuu Katika Kitabu cha Tano cha ZaburiMnara wa Mlinzi—2006 | Septemba 1
-
-
[Picha katika ukurasa wa 16]
Mawazo ya Yehova “ni mengi kuliko hata chembe za mchanga”
-